9 Hawatasababisha madhara+ yoyote wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu;+ kwa maana dunia hakika itajawa na kumjua Yehova kama vile maji yanavyoifunika bahari.+
17 “Paaza sauti tena, na kusema, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Bado majiji yangu yatafurikwa na wema tena;+ na Yehova bado atajuta juu ya Sayuni+ na bado atalichagua Yerusalemu.” ’ ”+
14Nami nikaona, na, tazama! Mwana-Kondoo+ amesimama juu ya Mlima Sayuni,+ na pamoja naye 144,000+ wakiwa na jina lake na jina la Baba+ yake limeandikwa juu ya mapaji ya nyuso zao.