Yeremia 51:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 kwa maana Yehova anampora Babiloni, na hakika yeye ataangamiza kutoka ndani yake ile sauti kubwa,+ na mawimbi yao yatakuwa na machafuko kama maji mengi.+ Kelele za sauti yao hakika zitapigwa.
55 kwa maana Yehova anampora Babiloni, na hakika yeye ataangamiza kutoka ndani yake ile sauti kubwa,+ na mawimbi yao yatakuwa na machafuko kama maji mengi.+ Kelele za sauti yao hakika zitapigwa.