Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Zina mikono, lakini haziwezi kugusa.+

      Zina miguu, lakini haziwezi kutembea;+

      Hazitoi sauti yoyote kwa koo zao.+

  • Isaya 46:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Beli+ ameinama,+ Nebo amejikunja; sanamu+ zao zimekuwa za wanyama-mwitu na za wanyama wa kufugwa, mizigo yao, vifurushi, mzigo wa kulemea wanyama waliochoka.

  • Isaya 46:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki