46Beli+ ameinama,+ Nebo amejikunja; sanamu+ zao zimekuwa za wanyama-mwitu na za wanyama wa kufugwa, mizigo yao, vifurushi, mzigo wa kulemea wanyama waliochoka.
7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+