3 Kisha Waashdodi wakaamka mapema kesho yake, na tazama, Dagoni alikuwa ameanguka kifudifudi mbele ya sanduku la Yehova.+ Basi wakamchukua Dagoni na kumrudisha mahali pake.+
7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+
29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+