Zaburi 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+ Zaburi 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwogopeni Yehova, enyi watakatifu wake,+Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+ Zaburi 103:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama vile baba anavyowaonyesha wanawe rehema,+Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+ Methali 23:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Moyo wako usiwaonee wivu watenda-dhambi,+ lakini umwogope Yehova mchana kutwa.+
14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+
13 Kama vile baba anavyowaonyesha wanawe rehema,+Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+