31 Ndipo, kwa kweli, kutaniko+ kotekote katika Yudea na Galilaya na Samaria likaingia katika kipindi cha amani, likijengwa; nalo lilipokuwa likitembea katika kumwogopa Yehova+ na katika faraja ya roho takatifu+ likaendelea kuongezeka.
7Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+
17 Zaidi ya hayo, ikiwa mnamwitia Baba ambaye huhukumu bila ubaguzi+ kulingana na matendo ya kila mmoja, jiendesheni kwa kuogopa+ katika wakati wa kukaa kwenu ugenini.+