Zaburi 37:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya watenda-maovu.+Usiwaonee wivu wale wanaofanya mambo yasiyo ya uadilifu.+ Methali 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri,+ wala kuchagua yoyote kati ya njia zake.+ Methali 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Usiwaonee wivu watu wabaya,+ wala usitamani kuingia pamoja nao.+
37 Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya watenda-maovu.+Usiwaonee wivu wale wanaofanya mambo yasiyo ya uadilifu.+