Zaburi 37:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya watenda-maovu.+Usiwaonee wivu wale wanaofanya mambo yasiyo ya uadilifu.+ Methali 23:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Moyo wako usiwaonee wivu watenda-dhambi,+ lakini umwogope Yehova mchana kutwa.+ Methali 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Usiwaonee wivu watu wabaya,+ wala usitamani kuingia pamoja nao.+ Methali 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usiwake kwa hasira juu ya watenda-maovu. Usiwaonee wivu watu waovu.+
37 Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya watenda-maovu.+Usiwaonee wivu wale wanaofanya mambo yasiyo ya uadilifu.+