Zaburi 73:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujisifu,+Nilipokuwa nikiiona amani ya watu waovu.+ Methali 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri,+ wala kuchagua yoyote kati ya njia zake.+ Methali 23:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Moyo wako usiwaonee wivu watenda-dhambi,+ lakini umwogope Yehova mchana kutwa.+