Ayubu 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi,+Wamezeeka, pia wamekuwa na mali nyingi zaidi?+ Zaburi 37:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya watenda-maovu.+Usiwaonee wivu wale wanaofanya mambo yasiyo ya uadilifu.+ Zaburi 37:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+ Yeremia 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?
37 Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya watenda-maovu.+Usiwaonee wivu wale wanaofanya mambo yasiyo ya uadilifu.+
7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+
12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?