25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+
5 Yehova alikuwa mwadilifu katikati yake;+ hakuwa akifanya ukosefu wowote wa uadilifu.+ Asubuhi baada ya asubuhi aliendelea kutoa uamuzi wake wa hukumu.+ Wakati wa mapambazuko haukukosekana.+ Lakini asiye mwadilifu hakujua aibu yoyote.+