Yeremia 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+ ninapokuletea malalamishi yangu,Ninapozungumza nawe kuhusu mambo ya haki. Lakini kwa nini njia ya waovu imefanikiwa,+Na kwa nini watu wenye hila hawana wasiwasi? Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 12:1 jr 118-119 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:1 Yeremia, kur. 118-119
12 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+ ninapokuletea malalamishi yangu,Ninapozungumza nawe kuhusu mambo ya haki. Lakini kwa nini njia ya waovu imefanikiwa,+Na kwa nini watu wenye hila hawana wasiwasi?