Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mahema ya waporaji hayana wasiwasi,+

      Na wale wanaomtia Mungu ghadhabu wana usalama

      Ulio wa mtu ambaye ameleta mungu mkononi mwake.+

  • Ayubu 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi,+

      Wamezeeka, pia wamekuwa na mali nyingi zaidi?+

  • Zaburi 37:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya watenda-maovu.+

      Usiwaonee wivu wale wanaofanya mambo yasiyo ya uadilifu.+

  • Zaburi 73:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujisifu,+

      Nilipokuwa nikiiona amani ya watu waovu.+

  • Yeremia 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wamenenepa;+ wameng’aa. Pia wamejaa kabisa mambo mabaya. Hawakutetea kesi yoyote,+ hata kesi ya mvulana asiye na baba,+ ili wapate mafanikio;+ nao hawakuifuatilia hukumu ya maskini.’”

  • Malaki 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na sasa tunawatangaza watu wenye kimbelembele kuwa wenye furaha.+ Pia, watendaji wa uovu wamejengwa.+ Wao pia wamemjaribu Mungu nao huendelea kuponyoka.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki