28 Wamenenepa;+ wameng’aa. Pia wamejaa kabisa mambo mabaya. Hawakutetea kesi yoyote,+ hata kesi ya mvulana asiye na baba,+ ili wapate mafanikio;+ nao hawakuifuatilia hukumu ya maskini.’”
15 Na sasa tunawatangaza watu wenye kimbelembele kuwa wenye furaha.+ Pia, watendaji wa uovu wamejengwa.+ Wao pia wamemjaribu Mungu nao huendelea kuponyoka.’ ”+