Zaburi 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana mwovu amejisifu kwa sababu ya tamaa yenye ubinafsi ya nafsi yake,+Naye anayepata faida asiyostahili+ amejibariki;נ [Nun]Amekosa kumheshimu Yehova.+ Zaburi 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana muda wote wa maisha yake alikuwa akiibariki nafsi yake mwenyewe;+(Na watu watakusifu kwa sababu unajiendeleza vizuri)+
3 Kwa maana mwovu amejisifu kwa sababu ya tamaa yenye ubinafsi ya nafsi yake,+Naye anayepata faida asiyostahili+ amejibariki;נ [Nun]Amekosa kumheshimu Yehova.+
18 Kwa maana muda wote wa maisha yake alikuwa akiibariki nafsi yake mwenyewe;+(Na watu watakusifu kwa sababu unajiendeleza vizuri)+