Isaya 57:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Nilikuwa na ghadhabu kutokana na makosa ya pato lake lisilo la haki,+ nami nikampiga, nikiuficha uso wangu,+ nilipokuwa na ghadhabu. Lakini yeye aliendelea kutembea akiwa mwasi+ katika njia ya moyo wake. Marko 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwenye shamba la mizabibu atafanya nini? Atakuja na kuwaangamiza wakulima, na kuwapa wengine+ shamba la mizabibu.+ Luka 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo wakamtupa nje+ ya shamba la mizabibu na kumuua.+ Kwa hiyo, mwenye shamba la mizabibu atawafanya nini?+
17 “Nilikuwa na ghadhabu kutokana na makosa ya pato lake lisilo la haki,+ nami nikampiga, nikiuficha uso wangu,+ nilipokuwa na ghadhabu. Lakini yeye aliendelea kutembea akiwa mwasi+ katika njia ya moyo wake.
9 Mwenye shamba la mizabibu atafanya nini? Atakuja na kuwaangamiza wakulima, na kuwapa wengine+ shamba la mizabibu.+
15 Ndipo wakamtupa nje+ ya shamba la mizabibu na kumuua.+ Kwa hiyo, mwenye shamba la mizabibu atawafanya nini?+