Isaya 57:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nilikasirika kwa sababu alitenda dhambi kwa kufuatilia faida isiyo ya haki,+Basi nikampiga, nikauficha uso wangu, nami nikashikwa na hasira. Lakini aliendelea kuwa mwasi+ akifuata njia ya moyo wake. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 57:17 ip-2 272 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 57:17 Unabii wa Isaya II, uku. 272
17 Nilikasirika kwa sababu alitenda dhambi kwa kufuatilia faida isiyo ya haki,+Basi nikampiga, nikauficha uso wangu, nami nikashikwa na hasira. Lakini aliendelea kuwa mwasi+ akifuata njia ya moyo wake.