Ayubu 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi,+Wamezeeka, pia wamekuwa na mali nyingi zaidi?+ Zaburi 37:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nimemwona mwovu akiwa mwonevu+Na akijitandaza kama mti wenye majani mengi katika udongo wa asili.+ Zaburi 73:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Tazama! Hao ndio waovu waliostarehe mpaka wakati usio na kipimo.+Wameongeza mali yao.+ Yeremia 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?
35 Nimemwona mwovu akiwa mwonevu+Na akijitandaza kama mti wenye majani mengi katika udongo wa asili.+
12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?