Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi,+

      Wamezeeka, pia wamekuwa na mali nyingi zaidi?+

  • Zaburi 37:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nimemwona mwovu akiwa mwonevu+

      Na akijitandaza kama mti wenye majani mengi katika udongo wa asili.+

  • Zaburi 73:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Tazama! Hao ndio waovu waliostarehe mpaka wakati usio na kipimo.+

      Wameongeza mali yao.+

  • Yeremia 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki