Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 55:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+

  • Ezekieli 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waambie, ‘ “Kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “Ninapendezwa, si na kifo cha mwovu,+ bali kwamba mtu mwovu ageuke na kuiacha+ njia yake na kwa kweli aendelee kuishi.+ Geukeni, geukeni mziache njia zenu mbaya,+ maana kwa nini mfe, Ee nyumba ya Israeli?” ’+

  • Habakuki 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa nini unanionyesha jambo lenye kudhuru, nawe unaendelea kutazama taabu tupu? Na kwa nini kuna uporaji na jeuri mbele yangu, kwa nini kugombana hutokea, kwa nini mzozo huendelezwa?+

  • Habakuki 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wewe umetakata sana usiweze kuona lililo baya; nawe huwezi kuitazama taabu.+ Kwa nini unawatazama wale wanaotenda kwa hila,+ na kukaa kimya wakati mtu mwovu anapommeza mtu aliye mwadilifu kuliko yeye?+

  • Waroma 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana Andiko linamwambia Farao: “Kwa sababu hii nimekuacha ubaki, ili kuhusiana na wewe nionyeshe nguvu zangu, na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.”+

  • Waroma 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi, ikiwa Mungu, ingawa alikuwa na nia ya kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha nguvu zake, alivumilia kwa ustahimilivu mwingi vyombo vya ghadhabu vilivyofanywa kuwa vyenye kufaa kwa ajili ya uharibifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki