31 Tupilieni mbali kutoka juu yenu makosa yenu yote mliyokosa+ na kujifanyia wenyewe moyo mpya+ na roho mpya,+ kwa maana kwa nini mfe,+ Ee nyumba ya Israeli?’
9 Yehova hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyoona kukawia, bali yeye ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+