Zaburi 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana wewe si Mungu anayependezwa na uovu;+Hakuna mtu yeyote mbaya atakayekaa na wewe kwa muda wowote.+ Isaya 59:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hapana, bali makosa yenu ndiyo mambo yanayosababisha mgawanyiko kati yenu na Mungu wenu,+ na dhambi zenu zimesababisha kufichwa kwa uso wake kutoka kwenu ili asisikie.+ 1 Petro 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+
4 Kwa maana wewe si Mungu anayependezwa na uovu;+Hakuna mtu yeyote mbaya atakayekaa na wewe kwa muda wowote.+
2 Hapana, bali makosa yenu ndiyo mambo yanayosababisha mgawanyiko kati yenu na Mungu wenu,+ na dhambi zenu zimesababisha kufichwa kwa uso wake kutoka kwenu ili asisikie.+
15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+