Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 89:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+

      Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+

  • Methali 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova huchukia;+ naam, vitu saba vinachukiza nafsi yake:+

  • Habakuki 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wewe umetakata sana usiweze kuona lililo baya; nawe huwezi kuitazama taabu.+ Kwa nini unawatazama wale wanaotenda kwa hila,+ na kukaa kimya wakati mtu mwovu anapommeza mtu aliye mwadilifu kuliko yeye?+

  • Yakobo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu akiwa chini ya jaribu,+ yeye asiseme: “Mungu ananijaribu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki