Kumbukumbu la Torati 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Usimfanyie hivyo Yehova Mungu wako,+ kwa maana kila kitu kinachochukiza kwa Yehova, ambacho anachukia wameifanyia miungu yao, kwa maana hata wana wao na binti zao wao huwateketeza motoni kwa ukawaida kwa ajili ya miungu yao.+ Zaburi 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu,+Na mtu yeyote anayependa jeuri nafsi Yake hakika inamchukia.+ Methali 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Waliopotoka moyoni ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wasio na lawama katika njia yao ni furaha kwake.+
31 Usimfanyie hivyo Yehova Mungu wako,+ kwa maana kila kitu kinachochukiza kwa Yehova, ambacho anachukia wameifanyia miungu yao, kwa maana hata wana wao na binti zao wao huwateketeza motoni kwa ukawaida kwa ajili ya miungu yao.+
5 Yehova humchunguza mwadilifu na pia mwovu,+Na mtu yeyote anayependa jeuri nafsi Yake hakika inamchukia.+
20 Waliopotoka moyoni ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wasio na lawama katika njia yao ni furaha kwake.+