Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+

      Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+

  • Zaburi 51:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Tazama! Umependezwa na ukweli wenyewe katika sehemu za ndani;+

      Na katika mtu wa sirini unijulishe hekima tupu.+

  • Methali 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Dhabihu ya waovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini sala ya wanyoofu ni furaha kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki