Zaburi 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+ Zaburi 51:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tazama! Umependezwa na ukweli wenyewe katika sehemu za ndani;+Na katika mtu wa sirini unijulishe hekima tupu.+ Methali 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dhabihu ya waovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini sala ya wanyoofu ni furaha kwake.+
7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+
6 Tazama! Umependezwa na ukweli wenyewe katika sehemu za ndani;+Na katika mtu wa sirini unijulishe hekima tupu.+