Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mahema ya waporaji hayana wasiwasi,+

      Na wale wanaomtia Mungu ghadhabu wana usalama

      Ulio wa mtu ambaye ameleta mungu mkononi mwake.+

  • Zaburi 37:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kaa kimya mbele za Yehova+

      Na kumngojea kwa kutamani.+

      Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+

      Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+

  • Zaburi 73:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujisifu,+

      Nilipokuwa nikiiona amani ya watu waovu.+

  • Zaburi 73:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Tazama! Hao ndio waovu waliostarehe mpaka wakati usio na kipimo.+

      Wameongeza mali yao.+

  • Yeremia 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki