Ayubu 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mahema ya waporaji hayana wasiwasi,+Na wale wanaomtia Mungu ghadhabu wana usalamaUlio wa mtu ambaye ameleta mungu mkononi mwake.+ Zaburi 37:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+ Zaburi 73:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujisifu,+Nilipokuwa nikiiona amani ya watu waovu.+ Zaburi 73:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Tazama! Hao ndio waovu waliostarehe mpaka wakati usio na kipimo.+Wameongeza mali yao.+ Yeremia 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?
6 Mahema ya waporaji hayana wasiwasi,+Na wale wanaomtia Mungu ghadhabu wana usalamaUlio wa mtu ambaye ameleta mungu mkononi mwake.+
7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+
12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?