Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Bali wapole wataimiliki dunia,+

      Nao watapata furaha yao tele katika wingi wa amani.+

  • Zaburi 37:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova anazijua siku za watu wasio na kosa,+

      Nao urithi wao wenyewe utaendelea mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zaburi 112:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 112 Msifuni Yah!+

      א [ʼAʹleph]  

      Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+

      ב [Behth]

      Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+

  • Zaburi 115:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Atawabariki wale wanaomwogopa Yehova,+

      Wadogo kwa wakubwa.+

  • Isaya 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Semeni kwamba itakuwa vema kwa mwadilifu,+ kwa maana watakula matunda ya matendo yao.+

  • Isaya 65:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama! Watumishi wangu watakula,+ lakini ninyi mtakuwa na njaa.+ Tazama! Watumishi wangu watakunywa,+ lakini ninyi mtakuwa na kiu.+ Tazama! Watumishi wangu watashangilia,+ lakini ninyi mtaona aibu.+

  • Mathayo 25:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Ndipo mfalme atakapowaambia wale walio kwenye mkono wake wa kuume, ‘Njooni, ninyi ambao mmebarikiwa na Baba yangu,+ urithini+ ufalme+ uliotayarishwa kwa ajili yenu tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+

  • 2 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki