Zaburi 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+ Zaburi 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+ Malaki 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+ Luka 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Abrahamu akasema, ‘Mwanangu, kumbuka kwamba ulipokea kwa ukamili vitu vyako vyema katika maisha yako, lakini Lazaro alipokea mabaya. Hata hivyo, sasa anapata faraja hapa lakini wewe umo katika maumivu makali.+
10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+
25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+
18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+
25 Lakini Abrahamu akasema, ‘Mwanangu, kumbuka kwamba ulipokea kwa ukamili vitu vyako vyema katika maisha yako, lakini Lazaro alipokea mabaya. Hata hivyo, sasa anapata faraja hapa lakini wewe umo katika maumivu makali.+