Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+

      Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+

  • Zaburi 37:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+

      Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+

      Wala uzao wake ukitafuta mkate.+

  • Malaki 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+

  • Luka 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Abrahamu akasema, ‘Mwanangu, kumbuka kwamba ulipokea kwa ukamili vitu vyako vyema katika maisha yako, lakini Lazaro alipokea mabaya. Hata hivyo, sasa anapata faraja hapa lakini wewe umo katika maumivu makali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki