Ayubu 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, akajibu, akasema:“Mimi ni kijana katika sikuNanyi ni wazee.+Ndiyo sababu nilikaa mbali nikaogopaKuwatangazia ninyi ujuzi wangu. Zaburi 71:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+
6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, akajibu, akasema:“Mimi ni kijana katika sikuNanyi ni wazee.+Ndiyo sababu nilikaa mbali nikaogopaKuwatangazia ninyi ujuzi wangu.
18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+