1 Samweli 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 (Basi Eli alikuwa na umri wa miaka 98, na macho yake yalikuwa yameganda, asiweze kuona.)+ Zaburi 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+ Zaburi 71:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usinitupe wakati wa uzee;+Wakati tu nguvu zangu zinapungua, usiniache.+
25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+