1 Samweli 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na ikawa kwamba siku hiyo Eli alikuwa amelala mahali pake, na macho yake yalikuwa yameanza kuingia giza;+ hakuweza kuona. Zaburi 90:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+
2 Na ikawa kwamba siku hiyo Eli alikuwa amelala mahali pake, na macho yake yalikuwa yameanza kuingia giza;+ hakuweza kuona.
10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+