27Na ikawa kwamba Isaka alipokuwa mzee na macho yake yalikuwa yameingia giza mno asiweze kuona,+ akamwita Esau mwana wake mkubwa na kumwambia:+ “Mwanangu!” naye akamjibu: “Mimi hapa!”
3 katika siku ambayo watunzaji wa nyumba+ wanatetemeka, nao wanaume wenye nguvu wameinama,+ na wanawake wanaosaga+ wameacha kufanya kazi kwa sababu wamekuwa wachache, na mabibi wanaochungulia madirishani+ wameona giza;