2 Samweli 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Wafilisti+ wakaja kupigana vita tena na Israeli. Basi Daudi na watumishi wake pamoja naye wakashuka na kupigana na Wafilisti; naye Daudi akachoka. Zaburi 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae cha udongo,+Na ulimi wangu umefanywa ushikamane na ufizi wangu;+Nawe unaniweka katika mavumbi ya kifo.+ Zaburi 90:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana siku zetu zote zimepungua katika ghadhabu yako;+Tumeimaliza miaka yetu kama mnong’ono tu.+ Zaburi 102:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alizitesa nguvu zangu njiani,+Alizifupisha siku zangu.+
15 Na Wafilisti+ wakaja kupigana vita tena na Israeli. Basi Daudi na watumishi wake pamoja naye wakashuka na kupigana na Wafilisti; naye Daudi akachoka.
15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae cha udongo,+Na ulimi wangu umefanywa ushikamane na ufizi wangu;+Nawe unaniweka katika mavumbi ya kifo.+
9 Kwa maana siku zetu zote zimepungua katika ghadhabu yako;+Tumeimaliza miaka yetu kama mnong’ono tu.+