Mwanzo 48:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+ Mhubiri 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 katika siku ambayo watunzaji wa nyumba+ wanatetemeka, nao wanaume wenye nguvu wameinama,+ na wanawake wanaosaga+ wameacha kufanya kazi kwa sababu wamekuwa wachache, na mabibi wanaochungulia madirishani+ wameona giza;
10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+
3 katika siku ambayo watunzaji wa nyumba+ wanatetemeka, nao wanaume wenye nguvu wameinama,+ na wanawake wanaosaga+ wameacha kufanya kazi kwa sababu wamekuwa wachache, na mabibi wanaochungulia madirishani+ wameona giza;