Yoshua 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hakuna yeyote atakayesimama imara mbele yako siku zote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe,+ kama vile nilivyokuwa pamoja na Musa. Sitakutupa wala kukuacha kabisa.+ Zaburi 94:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Yehova hatawaacha watu wake,+Wala hatauacha urithi wake mwenyewe.+ Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+ Waebrania 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Namna yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika+ na vitu vya sasa.+ Kwa maana yeye amesema: “Sitakuacha wala kukutupa hata kidogo.”+
5 Hakuna yeyote atakayesimama imara mbele yako siku zote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe,+ kama vile nilivyokuwa pamoja na Musa. Sitakutupa wala kukuacha kabisa.+
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
5 Namna yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika+ na vitu vya sasa.+ Kwa maana yeye amesema: “Sitakuacha wala kukutupa hata kidogo.”+