12 Naye akajibu: “Kwa sababu nitakuwa pamoja nawe,+ nayo hii ndiyo ishara kwako ya kwamba mimi ndiye niliyekutuma:+ Baada ya kuwatoa watu hao Misri, ninyi mtamtumikia Mungu wa kweli kwenye mlima huu.”+
7 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Leo nitaanza kukufanya uwe mkuu machoni pa Israeli wote,+ ili wajue kwamba nitakuwa pamoja nawe+ kama vile nilivyokuwa pamoja na Musa.+