8 Na Yehova ndiye anayepiga mwendo mbele yako. Yeye mwenyewe ataendelea kuwa pamoja nawe.+ Hatakutupa wala kukuacha kabisa. Usiogope wala usiingiwe na hofu.”+
5 Hakuna yeyote atakayesimama imara mbele yako siku zote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe,+ kama vile nilivyokuwa pamoja na Musa. Sitakutupa wala kukuacha kabisa.+
17 Kama vile tulivyomsikiliza Musa katika kila jambo, ndivyo tutakavyokusikiliza wewe. Ila tu Yehova Mungu wako na awe pamoja nawe+ kama vile alivyokuwa pamoja na Musa.+