24 Naye atawatia wafalme wao mkononi mwako,+ nawe lazima uyaharibu majina yao toka chini ya mbingu.+ Hakuna mtu atakayesimama imara dhidi yako,+ mpaka utakapokuwa umewaangamiza.+
25 Hakuna mtu atakayesimama imara dhidi yenu.+ Yehova Mungu wenu atatia mbele ya uso wa nchi+ yote ambayo mtaikanyaga hofu kwa ajili yenu na woga kwa ajili yenu kama vile alivyowaahidi ninyi.