Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+

  • Zaburi 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+

      Naye hatawaacha washikamanifu wake.+

      ע [ʽAʹyin]

      Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+

      Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+

  • Waroma 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi, nauliza, Je, Mungu aliwakataa watu wake?+ Hilo lisitendeke kamwe! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli,+ wa uzao wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.+

  • Waebrania 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Namna yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika+ na vitu vya sasa.+ Kwa maana yeye amesema: “Sitakuacha wala kukutupa hata kidogo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki