6 Iweni hodari na wenye nguvu.+ Usiogope wala kushtuka mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wako ndiye anayepiga mwendo pamoja nawe. Hatakutupa wala kukuacha kabisa.”+
8 Na Yehova ndiye anayepiga mwendo mbele yako. Yeye mwenyewe ataendelea kuwa pamoja nawe.+ Hatakutupa wala kukuacha kabisa. Usiogope wala usiingiwe na hofu.”+