Ayubu 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli, kutoka Buzi, akaanza kuzungumza, akasema: “Mimi ni kijana*Lakini ninyi ni wazee.+ Kwa hiyo kwa heshima nilijizuia,+Nami sikuthubutu kuwaambia ninayojua.
6 Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli, kutoka Buzi, akaanza kuzungumza, akasema: “Mimi ni kijana*Lakini ninyi ni wazee.+ Kwa hiyo kwa heshima nilijizuia,+Nami sikuthubutu kuwaambia ninayojua.