Zaburi 72:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku zake aliye mwadilifu atachipuka,+Na wingi wa amani mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.+ Zaburi 119:165 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi,+Na hakuna kitu cha kuwakwaza.+ Isaya 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwelekeo ambao umetegemezwa vema utaulinda katika amani ya kudumu,+ kwa sababu huyo hufanywa akutegemee wewe.+ Isaya 48:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto,+ na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+ Wafilipi 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na amani+ ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo+ yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu.
7 Katika siku zake aliye mwadilifu atachipuka,+Na wingi wa amani mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.+
3 Mwelekeo ambao umetegemezwa vema utaulinda katika amani ya kudumu,+ kwa sababu huyo hufanywa akutegemee wewe.+
18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto,+ na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+
7 na amani+ ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo+ yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu.