Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Katika siku zake aliye mwadilifu atachipuka,+

      Na wingi wa amani mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.+

  • Zaburi 119:165
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi,+

      Na hakuna kitu cha kuwakwaza.+

  • Isaya 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwelekeo ambao umetegemezwa vema utaulinda katika amani ya kudumu,+ kwa sababu huyo hufanywa akutegemee wewe.+

  • Isaya 48:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto,+ na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+

  • Wafilipi 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 na amani+ ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo+ yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki