7 Badala ya aibu yenu kutakuwa na fungu mara mbili,+ na badala ya fedheha watapiga vigelegele kwa shangwe juu ya fungu lao.+ Kwa hiyo watamiliki fungu mara mbili+ katika nchi yao. Watakuwa na shangwe mpaka wakati usio na kipimo.+
14 Nanyi hakika mtaona, na moyo wenu hautakosa kufurahi,+ na mifupa+ yenu itachipuka kama majani mororo.+ Na mkono wa Yehova hakika utajulishwa kwa watumishi wake,+ lakini yeye kwa kweli atawashutumu adui zake.”+