Ayubu 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Yehova akaigeuza hali ya mateka ya Ayubu+ aliposali kwa ajili ya wale rafiki zake,+ na Yehova akaanza kumpa na kumwongezea Ayubu vyote vilivyokuwa vyake, kiasi cha mara mbili.+
10 Na Yehova akaigeuza hali ya mateka ya Ayubu+ aliposali kwa ajili ya wale rafiki zake,+ na Yehova akaanza kumpa na kumwongezea Ayubu vyote vilivyokuwa vyake, kiasi cha mara mbili.+