Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 mimi sistahili fadhili zote zenye upendo na uaminifu wote ambao umemwonyesha mtumishi wako,+ kwa maana nilivuka huu mto Yordani nikiwa na fimbo yangu tu na sasa nimekuwa kambi mbili.+

  • 1 Samweli 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ni Mwenye Kuleta Umaskini+ na Mwenye Kutajirisha,+

      Ni Mwenye Kushusha, pia Mwenye Kuinua,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Amazia+ akamwambia yule mtu wa Mungu wa kweli: “Lakini zifanyweje zile talanta mia moja ambazo nimewapa majeshi ya Israeli?”+ Mtu wa Mungu wa kweli akajibu, akasema: “Yehova ana uwezo wa kukupa nyingi zaidi kuliko hizo.”+

  • Methali 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Matokeo ya unyenyekevu na kumwogopa Yehova ni utajiri na utukufu na uzima.+

  • Isaya 61:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Badala ya aibu yenu kutakuwa na fungu mara mbili,+ na badala ya fedheha watapiga vigelegele kwa shangwe juu ya fungu lao.+ Kwa hiyo watamiliki fungu mara mbili+ katika nchi yao. Watakuwa na shangwe mpaka wakati usio na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki