10 mimi sistahili fadhili zote zenye upendo na uaminifu wote ambao umemwonyesha mtumishi wako,+ kwa maana nilivuka huu mto Yordani nikiwa na fimbo yangu tu na sasa nimekuwa kambi mbili.+
9 Ndipo Amazia+ akamwambia yule mtu wa Mungu wa kweli: “Lakini zifanyweje zile talanta mia moja ambazo nimewapa majeshi ya Israeli?”+ Mtu wa Mungu wa kweli akajibu, akasema: “Yehova ana uwezo wa kukupa nyingi zaidi kuliko hizo.”+
7 Badala ya aibu yenu kutakuwa na fungu mara mbili,+ na badala ya fedheha watapiga vigelegele kwa shangwe juu ya fungu lao.+ Kwa hiyo watamiliki fungu mara mbili+ katika nchi yao. Watakuwa na shangwe mpaka wakati usio na kipimo.+