2 Mambo ya Nyakati 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Amazia akamuuliza hivi mtu wa Mungu wa kweli: “Lakini vipi kuhusu zile talanta 100 ambazo nimewapa wanajeshi wa Israeli?” Mtu wa Mungu wa kweli akamjibu: “Yehova anaweza kukupa nyingi zaidi kuliko hizo.”+ 2 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:9 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,5/2023, uku. 7
9 Ndipo Amazia akamuuliza hivi mtu wa Mungu wa kweli: “Lakini vipi kuhusu zile talanta 100 ambazo nimewapa wanajeshi wa Israeli?” Mtu wa Mungu wa kweli akamjibu: “Yehova anaweza kukupa nyingi zaidi kuliko hizo.”+