Mwanzo 28:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Yakobo akazidi kwenda zake kutoka Beer-sheba, akaendelea mpaka Harani.+ Mwanzo 30:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na huyo mwanamume akaendelea kuongezeka zaidi na zaidi, akawa na makundi makubwa na wajakazi na watumishi wanaume na ngamia na punda.+ Mwanzo 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye Yakobo akaogopa sana, akaanza kuhangaika.+ Kwa hiyo akawagawanya watu waliokuwa pamoja naye kuwa kambi mbili, na makundi na ng’ombe na ngamia,+ Zaburi 113:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Akimwinua mtu wa hali ya chini kutoka kwenye mavumbi;+Humwinua maskini kutoka kwenye shimo la majivu,+
43 Na huyo mwanamume akaendelea kuongezeka zaidi na zaidi, akawa na makundi makubwa na wajakazi na watumishi wanaume na ngamia na punda.+
7 Naye Yakobo akaogopa sana, akaanza kuhangaika.+ Kwa hiyo akawagawanya watu waliokuwa pamoja naye kuwa kambi mbili, na makundi na ng’ombe na ngamia,+
7 Akimwinua mtu wa hali ya chini kutoka kwenye mavumbi;+Humwinua maskini kutoka kwenye shimo la majivu,+