5 Nami nimekuja kuwa na ng’ombe na punda, kondoo, na watumishi wanaume na wajakazi,+ nami ningependa kupeleka neno kumjulisha bwana wangu, ili nipate kibali machoni pako.”’”+
7 kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana wasiweze kukaa pamoja na nchi ya kigeni waliyokuwa wakikaa haikuweza kuwatoshelezea mahitaji yao kwa sababu ya mifugo yao.+