Mwanzo 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo yeye akasema: “Unamaanisha nini kwa kambi yote hii ya wasafiri ambao nimekutana nao?”+ Naye akajibu, akasema: “Kusudi nipate kibali machoni pa bwana wangu.”+ Mwanzo 47:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi wakasema: “Umehifadhi uhai wetu.+ Na tupate kibali machoni pako bwana wangu, nasi tutakuwa watumwa wa Farao.”+
8 Ndipo yeye akasema: “Unamaanisha nini kwa kambi yote hii ya wasafiri ambao nimekutana nao?”+ Naye akajibu, akasema: “Kusudi nipate kibali machoni pa bwana wangu.”+
25 Basi wakasema: “Umehifadhi uhai wetu.+ Na tupate kibali machoni pako bwana wangu, nasi tutakuwa watumwa wa Farao.”+