5 Nami nimekuja kuwa na ng’ombe na punda, kondoo, na watumishi wanaume na wajakazi,+ nami ningependa kupeleka neno kumjulisha bwana wangu, ili nipate kibali machoni pako.”’”+
15 Kisha Esau akasema: “Tafadhali, acha niweke chini ya mamlaka yako baadhi ya watu walio pamoja nami.” Naye akajibu, akasema: “Kwa nini hivyo? Acha nipate kibali machoni pa bwana wangu.”+