Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nanyi pia mnapaswa kusema, ‘Tazama, mtumishi wako Yakobo yuko nyuma yetu.’”+ Kwa maana alisema moyoni mwake: “Huenda nikamtuliza kwa zawadi inayoenda mbele yangu,+ na baadaye mimi nitaona uso wake. Labda atanipokea kwa fadhili.”+

  • Mwanzo 43:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha Israeli baba yao akawaambia: “Ikiwa, basi, ndivyo ilivyo,+ fanyeni hivi: Chukueni mali bora zaidi ya nchi katika vyombo vyenu mkampelekee mtu huyo iwe zawadi:+ zeri kidogo,+ na asali kidogo,+ ubani mweusi na gome lenye utomvu,+ kungu na lozi.+

  • Methali 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Zawadi ni jiwe la thamani linaloleta kibali machoni pa yule aliye nayo.+ Kila mahali anapogeukia anafanikiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki