Mwanzo 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nanyi pia mnapaswa kusema, ‘Tazama, mtumishi wako Yakobo yuko nyuma yetu.’”+ Kwa maana alisema moyoni mwake: “Huenda nikamtuliza kwa zawadi inayoenda mbele yangu,+ na baadaye mimi nitaona uso wake. Labda atanipokea kwa fadhili.”+ Methali 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Zawadi ya mwanadamu itamfungulia nafasi kubwa,+ nayo itamwongoza hata mbele ya watu wakuu.+
20 Nanyi pia mnapaswa kusema, ‘Tazama, mtumishi wako Yakobo yuko nyuma yetu.’”+ Kwa maana alisema moyoni mwake: “Huenda nikamtuliza kwa zawadi inayoenda mbele yangu,+ na baadaye mimi nitaona uso wake. Labda atanipokea kwa fadhili.”+